Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amewasili katika Viwanja vya Kilimani Wilayani Chato Mkoani Geita, ambapo anaungana na waombolezaji mbalimbali kushiriki Ibada ya kumuaga na kumuombea Marehemu Bi. Suzana Ngolo Magufuli ambaye ni Mama wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Dkt. John Pombe Magufuli, inayofanyika leo tarehe 29 Mei 2026.
Friday, May 29, 2026
Home
Habari picha
𝐌𝐀𝐊𝐀𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐓𝐎 𝐊𝐔𝐀𝐆𝐀 𝐌𝐖𝐈𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐘𝐀𝐓𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈
𝐌𝐀𝐊𝐀𝐌𝐔 𝐖𝐀 𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐕𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐈𝐌𝐀𝐍𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐓𝐎 𝐊𝐔𝐀𝐆𝐀 𝐌𝐖𝐈𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐌𝐀 𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐘𝐀𝐓𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐌𝐀𝐆𝐔𝐅𝐔𝐋𝐈
Tags
# Habari picha
Kuhusu - Singidaniblog
Habari picha
Tags:
Habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
𝗡𝗶 𝗰𝗵𝗼𝗺𝗯𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗸𝗶𝗻𝗮𝗰𝗵𝗼𝘁𝗼𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗼𝗸𝗼𝘁𝗲 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶 ,𝗸𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗮𝗹𝗶 𝘄𝗲𝗹𝗲𝗱𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝗮𝗮𝗹𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶. 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗢 𝗡𝗔 𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜, 𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗦𝗜, 𝟬𝟳𝟱𝟰 𝟯𝟲𝟮 𝟵𝟵𝟬. 𝟬𝟲𝟴𝟴 𝟵𝟭𝟰 𝟯𝟰𝟰 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹: 𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝗱𝗮𝗻𝗶𝟳𝟳@𝗴𝗺𝗮𝗶𝗹.𝗰𝗼𝗺,
















No comments:
Post a Comment