𝐁𝐀𝐋𝐎𝐙𝐈 𝐓𝐎𝐆𝐎𝐋𝐀𝐍𝐈 𝐄𝐃𝐑𝐈𝐒𝐒 𝐌𝐀𝐕𝐔𝐑𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐀𝐓𝐈 𝐙𝐀 𝐔𝐓𝐀𝐌𝐁𝐔𝐋𝐈𝐒𝐇𝐎 𝐔𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 24, 2026

𝐁𝐀𝐋𝐎𝐙𝐈 𝐓𝐎𝐆𝐎𝐋𝐀𝐍𝐈 𝐄𝐃𝐑𝐈𝐒𝐒 𝐌𝐀𝐕𝐔𝐑𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐀𝐓𝐈 𝐙𝐀 𝐔𝐓𝐀𝐌𝐁𝐔𝐋𝐈𝐒𝐇𝐎 𝐔𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀

Balozi Togolani Edriss Mavura awasilisha Hati za Utambulisho kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, aanza rasmi majukumu yake kama Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.

Leo, Balozi Mavura aliwasilisha Hati za Utambulisho kutoka kwa Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa Mheshimiwa António Guterres, Katibu Mkuu wa United Nations, zikimtambulisha rasmi kama Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa.


Hatua hii inaashiria mwanzo rasmi wa utekelezaji wa majukumu yake mapya ya kidiplomasia katika kuwakilisha maslahi ya Tanzania katika jukwaa la kimataifa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad