𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐅𝐔𝐀𝐓𝐈𝐋𝐈𝐀 𝐇𝐎𝐓𝐔𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔/𝟐𝟎𝟐𝟕 𝐈𝐊𝐔𝐋𝐔, 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐀𝐌 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, June 12, 2026

𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐅𝐔𝐀𝐓𝐈𝐋𝐈𝐀 𝐇𝐎𝐓𝐔𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐊𝐔𝐔 𝐘𝐀 𝐒𝐄𝐑𝐈𝐊𝐀𝐋𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔/𝟐𝟎𝟐𝟕 𝐈𝐊𝐔𝐋𝐔, 𝐃𝐀𝐑 𝐄𝐒 𝐒𝐀𝐋𝐀𝐀𝐌

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifuatilia Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2026/2027, kupitia Televisheni ya Taifa (TBC1), Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 11 Juni, 2026. Bajeti hiyo ilikuwa ikisomwa Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar, kwenye Bunge la 13, Mkutano wa tatu katika Kikao cha 48 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipiga makofi pamoja na Wasaidizi wake mara baada ya Waziri wa Fedha Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar kumaliza kuwasilisha Hotuba ya Bajeti Kuu ya Serikali ya mwaka 2026/2027 kwenye Bunge la 13, Mkutano wa tatu katika Kikao cha 48 Jijini Dodoma. Rais Dkt. Samia alikuwa akifuatilia Hotuba ya Bajeti hiyo Kuu ya Serikali kupitia Televisheni ya Taifa (TBC1), Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 11 Juni, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad