𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈𝐓𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐈𝐌𝐀𝐑𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐇𝐔𝐒𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐂𝐇𝐀 𝐊𝐈𝐊𝐎𝐌𝐔𝐍𝐈𝐒𝐓𝐈 𝐂𝐇𝐀 𝐂𝐇𝐈𝐍𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, August 21, 2026

𝐂𝐂𝐌 𝐘𝐀𝐒𝐈𝐒𝐈𝐓𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐈𝐌𝐀𝐑𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐇𝐔𝐒𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐍𝐀 𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐂𝐇𝐀 𝐊𝐈𝐊𝐎𝐌𝐔𝐍𝐈𝐒𝐓𝐈 𝐂𝐇𝐀 𝐂𝐇𝐈𝐍𝐀

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Ndugu Aggrey Mwanri, amekutana na kufanya mazungumzo na Mwakilishi wa Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) nchini Tanzania, Ndugu Xu Sujiang, huku akisisitiza dhamira ya CCM ya kuendelea kuimarisha uhusiano wa kihistoria na wa kimkakati kati ya vyama hivyo viwili.

Kikao hicho kimefanyika leo Agosti 20,2026 katika Makao Makuu ya CCM, Dodoma, ambapo Ndugu Xu ametumia nafasi hiyo kuaga rasmi kabla ya kuhitimisha majukumu yake nchini Tanzania

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad