Kutafuta pesa na kupambania maendeleo ni lengo la kila mtu, lakini pale unapotumbukia kwenye mtego wa michezo ya kubeti na kamari, maisha yote huanza kuporomoka kwa kasi ya ajabu.
Kwa miaka kadhaa, nilikabiliwa na uraibu mzito wa kamari uliyoanza kama mchezo mdogo wa kujiburudisha. Kila nilipoweka pesa na kushinda kiasi kidogo, tamani ya kupata pesa nyingi haraka ilitawala akili yangu, ikanifanya nianze kuweka kiasi kikubwa zaidi cha fedha kila siku.










No comments:
Post a Comment