𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜𝗡𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗣𝗔𝗧𝗢 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗨 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, August 30, 2026

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗩𝗬𝗢𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗦𝗜𝗥𝗜 𝗕𝗔𝗔𝗗𝗔 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗗𝗛𝗔𝗥𝗔𝗨𝗟𝗜𝗪𝗔 𝗞𝗔𝗭𝗜𝗡𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗦𝗔𝗕𝗔𝗕𝗨 𝗬𝗔 𝗞𝗜𝗣𝗔𝗧𝗢 𝗖𝗛𝗔𝗡𝗚𝗨

Mimi nilikuwa nafanya kazi sehemu moja kwa muda mrefu, lakini kipato changu kilikuwa kidogo ukilinganisha na wengine. Hilo lilifanya baadhi ya wafanyakazi wenzangu kunichukulia poa na wakati mwingine kunidharau waziwazi.

Maneno ya kejeli yalikuwa ya kawaida. Wakati mwingine walikuwa wakicheka mbele yangu, na hata mawazo yangu hayakuzingatiwa kwenye mikutano. Nilianza kujiona mdogo na kupoteza kujiamini kabisa.

Kadri muda ulivyopita, nilianza kukaa kimya zaidi. Niliogopa kuongea au kujitetea. Ilikuwa kama nimekubali hali hiyo, lakini moyoni nilikuwa naumia sana. Siku moja nilimweleza kaka yangu hali yangu.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad