𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐇𝐔𝐒𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐂𝐇𝐀 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐘𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐈𝐒𝐈𝐀 𝐙𝐀 𝐔𝐏𝐄𝐍𝐃𝐎. - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, September 7, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐇𝐔𝐒𝐈𝐀𝐍𝐎 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐊𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐂𝐇𝐀 𝐊𝐔𝐎𝐍𝐘𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐇𝐈𝐒𝐈𝐀 𝐙𝐀 𝐔𝐏𝐄𝐍𝐃𝐎.

Mimi nilikuwa kwenye ndoa ambayo mwanzoni ilikuwa na furaha na maelewano. Tulikuwa tunazungumza, kucheka, na kushirikiana kila kitu bila shida.

 Lakini baada ya muda, mabadiliko yakaanza. 

Mke wangu alianza kujitenga kimya kimya.  Hakupenda tena mazungumzo marefu, hakutabasamu kama zamani, na mara nyingi alikuwa na msongo wa mawazo. Nilijaribu kumuuliza kama kuna tatizo, lakini majibu yake yalikuwa mafupi au wakati mwingine hakuna majibu kabisa. 

Hali hii ilinifanya nijisikie kupotea ndani ya ndoa yangu.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad