Kwa kweli mapenzi huwa kipimo cha moyo wa binadamu.
Nilipokutana na Joel, nilihisi kama ndoto zangu zote kuhusu mwanaume wa ndoto zangu zimefikia ukingoni. Alikuwa mpole, mchangamfu, mkarimu na mwenye ndoto za maisha.
Aliniahidi kunioa, alinijumuisha kwa familia yake, na hata alijenga mazingira ya kuonyesha kuwa uhusiano wetu ulikuwa wa kudumu.
Kwa miaka miwili, nilimhudumia kama mke halali.
Nilikuwa nikimpikia, kumfulia, hata kusaidia kwenye biashara zake za mtandaoni. Kila alipopata hela, aliniahidi kuninunulia pete ya uchumba na kunipeleka kumtambulisha kwa wazazi wake rasmi.
Lakini siku zilikuwa zinapita bila hatua yoyote...SOMA ZAIDI










No comments:
Post a Comment