KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025: TAKUKURU TANGA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, August 28, 2025

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU OKTOBA 2025: TAKUKURU TANGA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI


 Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga, Ramadhani Ndwatah, akizungumza na waandishi wa habari Mkoa wa Tanga wakati wa utoaji wa mafunzo ya mapambano ya rushwa kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu.

....................................

Na Mashaka Kibaya,Tanga

WANAHABARI mkoani Tanga, wametakiwa kutumia kalamu zao katika kuendeleza mapambano dhidi ya rushwa, kwa maelezo kuwa wao wana nguvu ya ziada kutumia vyombo vyao kufikisha taarifa ya athari za vitendo vya rushwa kwa wananchi walio wengi.

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU), Mkoa wa  Tanga, Ramadhani Ndwatah, ametoa wito huo jana kwenye semina ya mafunzo kwa Waandishi wa habari kuhusu nafasi ya wanataaluma hao katika kuzuia rushwa kuelekea uchaguzi wa oktoba,2025...SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad