Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. Samia
Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa Singida katika muendelezo wa Kampeni
za Uchaguzi Mkuu kwa Chama hicho zilizofanyika katika uwanja wa Bombadia mkoani
Singida tarehe 09 Septemba, 2025.
Sehemu ya
Wananchi wa Singida waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi
Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uwanja wa Bombadia mkoani Singida
tarehe 09 Septemba, 2025.
Sehemu ya
Wananchi wa Singida waliohudhuria mkutano wa hadhara wa Kampeni za Uchaguzi
Mkuu kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) katika uwanja wa Bombadia mkoani Singida
tarehe 09 Septemba, 2025.














No comments:
Post a Comment