Nilikuwa nimechoka kabisa. Kila wiki nilikuwa nikiweka bets zangu kwenye michezo ya mpira kwa matumaini kwamba siku moja nitashinda jackpot na kubadilisha maisha yangu. Lakini kila mara nilikuwa napoteza. Mara nyingi nilikuwa nakosa mechi moja tu na tiketi yote inapotea.
Hili lilikuwa linaniumiza sana kwa sababu nilikuwa najua mpira, nilifuatilia takwimu, nilisoma maoni ya wachambuzi, lakini bado sikuwa napata matokeo niliyotarajia. Nilipoteza akiba yangu yote, na hata nilianza kukopa ili nisikose kuweka bashiri kila wiki.










No comments:
Post a Comment