Siku ambazo familia yetu haitasahau zilianza wakati Mke wangu alipokuwa mjamzito wa miezi ya mwisho.
Kila kitu kilionekana kawaida mwanzoni lakini kadri siku zilivyokaribia hali yake ilianza kubadilika.
Alikuwa anaota ndoto nzito anaumwa mara kwa mara na hakuwa na amani hata kidogo.
Wazee wa ukoo walianza kunongona kuwa kuna jambo zito.










No comments:
Post a Comment