NDOA YETU ILIKUWA BARIDI BILA MAPIGANO, MAZUNGUMZO MOJA NA MTU SPESHELI YALIFUNGUA MIOYO YETU - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, December 26, 2025

NDOA YETU ILIKUWA BARIDI BILA MAPIGANO, MAZUNGUMZO MOJA NA MTU SPESHELI YALIFUNGUA MIOYO YETU

Kwa muda mrefu ndoa yetu haikuwa na kelele wala ugomvi, lakini pia haikuwa na furaha. Tulikuwa tunaishi kama watu wanaoshirikiana nyumba, si kama wenza. Tulizungumza kuhusu mambo ya lazima tu chakula, watoto, bili lakini mioyo yetu ilikuwa mbali.

Ukimya ule ulianza kuniumiza zaidi kuliko ugomvi wowote. Nilijilaumu kimya kimya. Nilijiuliza kama mapenzi yalikuwa yameisha, au kama tulikosea mahali fulani njiani. Kila nikijaribu kuanzisha mazungumzo ya kina, yalikuwa yanakufa njiani.

Kila mmoja wetu alijifungia kwenye dunia yake. Kulikuwa na heshima, ndiyo, lakini hakuna joto la ndoa. Mabadiliko yalianza nilipoamua kutafuta mtu wa nje angeweza kutusikiliza bila kutuhukumu.

Endelea Kusoma

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad