Nilikuwa nimefika mwisho kabisa wa uvumilivu. Madeni yalikuwa yamenizunguka kila upande, simu zilikuwa haziishi kupigwa na wadai, na kila siku nilikuwa naishi kwa hofu. Nilikuwa nimekopa pesa kwa marafiki, familia na hata taasisi za kifedha, lakini sikuwa na njia ya kulipa.
Biashara yangu ilikuwa imeporomoka vibaya, na kila jaribio la kuinuka lilikuwa linaishia kuwa hasara nyingine. Watu waliokuwa karibu nami walianza kunikwepa, na heshima yangu ilianza kupotea polepole. Nilihisi kama maisha yangu yalikuwa yamefika mwisho.










No comments:
Post a Comment