Changamoto iliyodumu kwa miaka mingi.
Moses Wekesa, mkazi wa Kitale mwenye umri wa miaka 54, anasema kwa muda mrefu alikuwa akiishi na tatizo la nguvu za kiume ambalo lilianza kuathiri ndoa yake. Kwa mujibu wake, hali hiyo ilianza polepole lakini baadaye ikawa chanzo cha migogoro nyumbani.
Wekesa anasema alijaribu kutafuta msaada katika maeneo tofauti lakini hakupata suluhisho la kudumu. Kadri muda ulivyopita, alianza kupoteza kujiamini na hata mahusiano yake na mke wake yakaanza kuwa na mvutano.










No comments:
Post a Comment