𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐌𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐇𝐀𝐌𝐔 𝐘𝐀 𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐊𝐔𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐊𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, May 23, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐑𝐄𝐉𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐅𝐔𝐑𝐀𝐇𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐌𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐇𝐀𝐌𝐔 𝐘𝐀 𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈𝐁𝐔 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐔 𝐊𝐔𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐊𝐀 𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀𝐍𝐈

 

Kulikuwa na kipindi ambacho nilianza kuhisi ndoa yangu ilikuwa ikibadilika polepole mbele ya macho yangu. Mimi na mume wangu tulikuwa tumependana sana tangu mwanzo wa ndoa yetu. 

Tulikuwa marafiki wazuri, tulizungumza kila kitu, na nyumba yetu ilikuwa imejaa furaha.

Lakini kadri miaka ilivyopita na majukumu kuongezeka, mambo yalianza kubadilika kwa namna ambayo sikuitarajia. Mwanzoni nilidhani ni uchovu wa kawaida wa maisha.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad