𝐑𝐂 𝐂𝐇𝐀𝐋𝐀𝐌𝐈𝐋𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐆𝐎 𝐌𝐀𝐑𝐀𝐓𝐇𝐎𝐍 𝐍𝐉𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐃𝐇𝐔𝐁𝐔𝐓𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐄𝐋𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 24, 2026

𝐑𝐂 𝐂𝐇𝐀𝐋𝐀𝐌𝐈𝐋𝐀 𝐕𝐈𝐖𝐀𝐍𝐆𝐎 𝐌𝐀𝐑𝐀𝐓𝐇𝐎𝐍 𝐍𝐉𝐈𝐀 𝐌𝐀𝐃𝐇𝐔𝐁𝐔𝐓𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐈𝐊𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐄𝐋𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe Albert Chalamila amefurahishwa na kupongeza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kwa kuandaa Viwango Marathon kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 50 ya kuanzishwa kwa Shirika hilo pamoja na kuendelea kuhamasisha jamii kuhusu umuhimu wa kuzingatia viwango.

Aidha RC Chalamila amesema mbio hizo ni njia sahihi ya kufikisha elimu kwa jamii kwa namna rahisi, yenye kuvutia na inayogusa maisha ya kila siku ya wananchi hususani Mkoa wa Dar es Salaam.


Viwango Marathon imefanyika mapema leo Mei 23, 2026 katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es Salaam ikiwa ni moja ya matukio yanayolenga kuishirikisha jamii katika maadhimisho ya miaka 50 ya TBS.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad