Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilihisi kama kila kitu nilichorithi kutoka kwa wazazi wangu kilikuwa karibu kupotea. Baada ya baba yangu kufariki, aliacha kipande cha ardhi ambacho familia yetu ilikuwa ikikitegemea sana.
Tuliamini kila kitu kilikuwa sawa kwa sababu tulikuwa tunajua historia ya ardhi ile tangu zamani. Lakini ghafla mambo yalibadilika pale mtu mmoja alipojitokeza akidai sehemu ile ilikuwa yake.
Mwanzoni nilidhani ni misunderstanding ya kawaida. Lakini baada ya muda, jambo lile likafika hadi mahakamani. Nilishangaa kuona documents zikiletwa, madai tofauti tofauti yakitolewa, na watu ambao sikuwa nawafahamu wakihusika kwenye kesi ile.
KUENDELEA KUSOMA.....BOFYA HAPA










No comments:
Post a Comment