Kuna kipindi maishani mwangu nilihisi kama kila kitu kilikuwa kinaniendea vibaya. Haikuwa kwamba sikuwa najituma. Kwa kweli nilikuwa mtu wa bidii sana. Nilikuwa nafanya kazi kwa juhudi, nikijaribu biashara tofauti tofauti, na kila mara nilikuwa na ndoto ya kubadilisha maisha yangu na kusaidia familia yangu.
Lakini mambo yalikuwa hayaendi kama nilivyotarajia.
Kila nilipoanza jambo jipya, lilikuwa linaishia njiani. Biashara moja ilifeli. Kazi niliyokuwa naiomba haikupatikana. Wakati mwingine nilikuwa karibu kupata opportunity nzuri, lakini ghafla mambo yaliharibika bila maelezo.










No comments:
Post a Comment