𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐎𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐌𝐈𝐕𝐔 𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐀𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐄 𝐊𝐔𝐋𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐊𝐀 𝐇𝐎𝐒𝐏𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐉𝐈𝐁𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, May 11, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐎𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐔𝐌𝐈𝐕𝐔 𝐘𝐀 𝐓𝐔𝐌𝐁𝐎 𝐘𝐀𝐋𝐈𝐘𝐎𝐊𝐔𝐖𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐀𝐍𝐈𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐍𝐈𝐒𝐇𝐈𝐍𝐃𝐖𝐄 𝐊𝐔𝐋𝐀 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐙𝐔𝐍𝐆𝐔𝐊𝐀 𝐇𝐎𝐒𝐏𝐈𝐓𝐀𝐋𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐉𝐈𝐁𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐄𝐋𝐄𝐖𝐄𝐊𝐀

Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi na maumivu ya tumbo ambayo yaligeuka kuwa sehemu ya maisha yangu ya kila siku. Mwanzoni nilidhani ni hali ya kawaida tu labda chakula hakikunisitiri vizuri au ni uchovu wa kawaida. Lakini kadri siku zilivyopita, hali ilianza kuwa mbaya zaidi.

Kila nilipokula, tumbo lilianza kuuma vibaya kiasi kwamba wakati mwingine nilikosa hata hamu ya kula.


Mara nyingine nilikuwa najisikia kujaa haraka, na wakati mwingine maumivu yalikuwa makali kiasi cha kunifanya nikose usingizi usiku. Nilianza kuzunguka hospitali...ENDELEA KUSOMA 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad