Kwa miaka mingi, ndoto yangu kubwa ilikuwa kuwa na nyumba yangu mwenyewe. Nilikuwa nimechoka maisha ya kupanga. Kila mwaka kodi ilikuwa inapanda, na kila mara nilikuwa na hofu ya kuambiwa nihame ghafla.
Nilikuwa natamani sehemu ambayo ningeiita nyumbani kwangu bila pressure ya mwenye nyumba au tarehe ya kodi kunisumbua kila mwezi. Lakini hali ya maisha haikuwa rahisi.
Nilikuwa nafanya kazi kwa bidii, lakini pesa zilikuwa zinaisha kabla hata sijafikia mipango yangu. Kila nilipojaribu kuweka akiba ya kujenga, changamoto nyingine zilikuwa zinajitokeza. Mara ni ada ya watoto, mara matibabu, mara matatizo ya kifamilia.










No comments:
Post a Comment