𝗡𝗜𝗟𝗜𝗣𝗜𝗚𝗜𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘, 𝗡𝗗𝗜𝗣𝗢 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔𝗞𝗔𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗟𝗘𝗙𝗧 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Sunday, May 17, 2026

𝗡𝗜𝗟𝗜𝗣𝗜𝗚𝗜𝗪𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗠𝗕𝗔 𝗬𝗔𝗡𝗚𝗨 𝗠𝗪𝗘𝗡𝗬𝗘𝗪𝗘, 𝗡𝗗𝗜𝗣𝗢 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔𝗞𝗔𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗞𝗪𝗘𝗡𝗗𝗔 𝗟𝗘𝗙𝗧

Siku hiyo ilikuwa jioni ya kawaida kabisa. Nilikuwa nimekaa sebuleni nikitazama TV, nikijaribu kupumzika baada ya siku ndefu ya kazi. Ghafla, simu yangu ikaanza kuita.

Nilipoangalia screen, nilibaki confused kabisa.

Namba iliyokuwa inanipigia ilikuwa ni namba yangu mwenyewe.

Mwanzoni nilidhani ni glitch tu ya simu. Lakini simu iliendelea kuita. Nilichukua kwa hofu kidogo. Upande wa pili kulikuwa na ukimya mzito, kisha nikasikia sauti ambayo ilifanana kabisa na yangu.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad