𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐌𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐔𝐌𝐄 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐍𝐈𝐊𝐀𝐓𝐀𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐀𝐌𝐁𝐈𝐀 𝐒𝐈𝐍𝐀 𝐅𝐔𝐓𝐔𝐑𝐄 𝐘𝐀𝐊𝐄 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐒𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐖𝐄 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐀𝐃𝐇𝐀𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, May 19, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐌𝐅𝐀𝐍𝐘𝐀 𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐔𝐌𝐄 𝐀𝐋𝐈𝐘𝐄𝐍𝐈𝐊𝐀𝐓𝐀𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐀𝐌𝐁𝐈𝐀 𝐒𝐈𝐍𝐀 𝐅𝐔𝐓𝐔𝐑𝐄 𝐘𝐀𝐊𝐄 𝐊𝐔𝐀𝐍𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐒𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄𝐖𝐄 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐄𝐙𝐈 𝐊𝐀𝐃𝐇𝐀𝐀

Sikuwahi kufikiria kwamba mtu ambaye nilimpenda kwa moyo wangu wote angefika mahali pa kuniambia wazi kuwa hakuniona kwenye maisha yake ya baadaye. Tulikutana kipindi ambacho maisha yangu yalikuwa mazuri sana. Tulikuwa karibu, tunazungumza kila siku, na kila kitu kilionekana kwenda vizuri.

Kwa kweli nilianza kuamini kuwa huenda ndiye mtu ambaye ningejenga naye maisha yangu.


Lakini ghafla mambo yakabadilika. 

Mwanzoni alianza kuwa distant kidogo. Simu zilianza kupungua, messages zikawa za kawaida tu, na muda tuliokuwa tunatumia pamoja ukapungua sana. Nilijipa moyo nikisema.......Endelea Kusoma 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad