𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐊𝐎𝐍𝐆𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎 𝐋𝐀 𝐖𝐀𝐃𝐀𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐙𝐈𝐍𝐆𝐈𝐑𝐀, 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝟒𝟎 𝐘𝐀 𝐍𝐄𝐌𝐂 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, May 28, 2026

𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐌𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐊𝐎𝐍𝐆𝐀𝐌𝐀𝐍𝐎 𝐋𝐀 𝐖𝐀𝐃𝐀𝐔 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐙𝐈𝐍𝐆𝐈𝐑𝐀, 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝟒𝟎 𝐘𝐀 𝐍𝐄𝐌𝐂

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Mei 28, 2026 amewasili kuwa Mgeni Rasmi katika Kongamano la Kitaifa la Wadau wa Mazingira pamoja na maadhimisho ya miaka 40 ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) yanayofanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC), jijini Dar es Salaam.

Katika kongamano hilo, Dkt. Mwigulu ametembelea mabanda mbalimbali ya maonesho ya wadau wa mazingira na kupata fursa ya kujionea shughuli na teknolojia zinazotumika katika uhifadhi na usimamizi wa mazingira nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad