Naitwa Ng’wananzala, mkazi wa mkoa wa Shinyanga, mkoa wa wafugaji na wachimba madini. Mimi ni mwanaume ambaye nilikuwa na kila aina ya mali; ng’ombe wengi, mashamba, na nyumba nzuri, lakini sikuwa na mke.
Nilikuwa nimefikisha miaka 49 nikiwa bado niko peke yangu. Vijana wa kijijini kwetu walikuwa wakinitania na kuniita “mzee kijana” kwa sababu sikuwa na mtu wa kunipikia wala kunifulia. Nilihisi nina nuksi ambayo haitakaa iishe maishani mwangu.




0 Comments