Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Naibu Waziri Mkuu wa Tatu wa Uganda Mhe. Rukia Isaya Nakadama mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe nchini humo tarehe 12 Mei, 2026. Rais Dkt. Samia amewasili nchini Uganda kwa ajili ya kuhudhuria Sherehe za Uapisho wa Rais Mteule nchi hiyo, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni, zitakazofanyika katika Viwanja vya Kololo Jijini Kampala nchini humo.
Tuesday, May 12, 2026
Home
Burudani
𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐄𝐍𝐓𝐄𝐁𝐁𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎
𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐄𝐍𝐓𝐄𝐁𝐁𝐄 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐆𝐀𝐍𝐃𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐇𝐔𝐃𝐇𝐔𝐑𝐈𝐀 𝐒𝐇𝐄𝐑𝐄𝐇𝐄 𝐙𝐀 𝐔𝐀𝐏𝐈𝐒𝐇𝐎
Tags
# Burudani
Kuhusu - Singidaniblog
Burudani
Tags:
Burudani
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
𝗡𝗶 𝗰𝗵𝗼𝗺𝗯𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗸𝗶𝗻𝗮𝗰𝗵𝗼𝘁𝗼𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗼𝗸𝗼𝘁𝗲 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶 ,𝗸𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗮𝗹𝗶 𝘄𝗲𝗹𝗲𝗱𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝗮𝗮𝗹𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶. 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗢 𝗡𝗔 𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜, 𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗦𝗜, 𝟬𝟳𝟱𝟰 𝟯𝟲𝟮 𝟵𝟵𝟬. 𝟬𝟲𝟴𝟴 𝟵𝟭𝟰 𝟯𝟰𝟰 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹: 𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝗱𝗮𝗻𝗶𝟳𝟳@𝗴𝗺𝗮𝗶𝗹.𝗰𝗼𝗺,











No comments:
Post a Comment