𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐖𝐀 𝐕𝐄𝐓𝐀 𝐂𝐏𝐀 𝐀𝐍𝐓𝐇𝐎𝐍𝐘 𝐊𝐀𝐒𝐎𝐑𝐄 𝐀𝐊𝐈𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝟐𝟎𝟐𝟔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, June 24, 2026

𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐖𝐀 𝐕𝐄𝐓𝐀 𝐂𝐏𝐀 𝐀𝐍𝐓𝐇𝐎𝐍𝐘 𝐊𝐀𝐒𝐎𝐑𝐄 𝐀𝐊𝐈𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝟐𝟎𝟐𝟔

Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA. Anthony Kasore akipokea tuzo kutoka kwa Mhe.Prof.Riziki Shemdoe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) baada ya kuibuka mshindi wa Tatu katika kundi la Taasisi zilizofanya vizuri katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2026 katika hafla ya Ufungaji rasmi wa Maadhimisho hayo leo tarehe 23 Juni, 2026 kwenye viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma. 

Maadhimisho hayo yalifunguliwa rasmi na Mhe.Ridhiwani Jakaya Kikwete Waziri Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora tarehe 17 Juni, 2026 na kufungwa tarehe 23 Juni, 2026 na Mhe.Prof.Riziki Shemdoe (Mb) , Waziri wa Nchi , Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad