Mkurugenzi Mkuu wa VETA CPA. Anthony Kasore akipokea tuzo kutoka kwa Mhe.Prof.Riziki Shemdoe, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) baada ya kuibuka mshindi wa Tatu katika kundi la Taasisi zilizofanya vizuri katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, 2026 katika hafla ya Ufungaji rasmi wa Maadhimisho hayo leo tarehe 23 Juni, 2026 kwenye viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma.
Wednesday, June 24, 2026
Home
Habari picha
𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐖𝐀 𝐕𝐄𝐓𝐀 𝐂𝐏𝐀 𝐀𝐍𝐓𝐇𝐎𝐍𝐘 𝐊𝐀𝐒𝐎𝐑𝐄 𝐀𝐊𝐈𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝟐𝟎𝟐𝟔
𝐌𝐊𝐔𝐑𝐔𝐆𝐄𝐍𝐙𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐖𝐀 𝐕𝐄𝐓𝐀 𝐂𝐏𝐀 𝐀𝐍𝐓𝐇𝐎𝐍𝐘 𝐊𝐀𝐒𝐎𝐑𝐄 𝐀𝐊𝐈𝐏𝐎𝐊𝐄𝐀 𝐓𝐔𝐙𝐎 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐖𝐀 𝐔𝐌𝐌𝐀 𝟐𝟎𝟐𝟔
Tags
# Habari picha
Kuhusu - Singidaniblog
Habari picha
Tags:
Habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
𝗡𝗶 𝗰𝗵𝗼𝗺𝗯𝗼 𝗰𝗵𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗸𝗶𝗻𝗮𝗰𝗵𝗼𝘁𝗼𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶 𝗻𝗮 𝗺𝗮𝘁𝘂𝗸𝗶𝗼 𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶𝗺𝗯𝗮𝗹𝗶 𝗻𝗰𝗵𝗶𝗻𝗶 𝗧𝗮𝗻𝘇𝗮𝗻𝗶𝗮 𝗻𝗮 𝗸𝗼𝗸𝗼𝘁𝗲 𝗱𝘂𝗻𝗶𝗮𝗻𝗶 ,𝗸𝘄𝗮 𝗸𝘂𝗷𝗮𝗹𝗶 𝘄𝗲𝗹𝗲𝗱𝗶 𝗻𝗮 𝘁𝗮𝗮𝗹𝘂𝗺𝗮 𝘆𝗮 𝗵𝗮𝗯𝗮𝗿𝗶. 𝗞𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗧𝗔𝗡𝗚𝗔𝗭𝗢 𝗡𝗔 𝗛𝗨𝗗𝗨𝗠𝗔 𝗬𝗔 𝗛𝗔𝗕𝗔𝗥𝗜, 𝗪𝗔𝗦𝗜𝗟𝗜𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔𝗦𝗜, 𝟬𝟳𝟱𝟰 𝟯𝟲𝟮 𝟵𝟵𝟬. 𝟬𝟲𝟴𝟴 𝟵𝟭𝟰 𝟯𝟰𝟰 𝗘𝗺𝗮𝗶𝗹: 𝘀𝗶𝗻𝗴𝗶𝗱𝗮𝗻𝗶𝟳𝟳@𝗴𝗺𝗮𝗶𝗹.𝗰𝗼𝗺,
















No comments:
Post a Comment