𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐉𝐈𝐉𝐈𝐍𝐈 𝐌𝐎𝐒𝐂𝐎𝐖 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐑𝐔𝐒𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀. - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, June 2, 2026

𝐑𝐀𝐈𝐒 . 𝐃𝐊𝐓. 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐉𝐈𝐉𝐈𝐍𝐈 𝐌𝐎𝐒𝐂𝐎𝐖 𝐍𝐂𝐇𝐈𝐍𝐈 𝐔𝐑𝐔𝐒𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐀𝐉𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐙𝐈𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Vnukovo, uliopo Jijini Moscow kwa ajili ya Ziara ya Kitaifa, nchini Urusi tarehe 02 Juni, 2026. Ziara hii ina lenga kuimarisha uhusiano wa Kidiplomasia, kisiasa, kiuchumi na kihistoria baina ya Tanzania na Urusi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi Mhe. Maxim Reshetnikov wakati Gwaride la Heshima likipita mbele katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Vnukovo, Jijini Moscow nchini Urusi tarehe 02 Juni, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad