DC KILOSA AKISONGA UGALI MPANGO WA MATUMIZI GESI YA WANYAMA MBIO ZA MWENGE 2026 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, June 10, 2026

DC KILOSA AKISONGA UGALI MPANGO WA MATUMIZI GESI YA WANYAMA MBIO ZA MWENGE 2026

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Shaka Hamdu Shaka akisonga ugali mara baada ya kuzinduliwa kwa Mpango endelevu wa uhamasishaji matumizi ya gesi Safi inayotokana na viumbe hai ( Ngo'mbe) ambapo  mpango huo ulizinduliwa na kiongozi wa mbio za Kiongozi wa mbio za  Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026 Wazo Michael Mwango'nda katika kijiji cha Msowero  wilayani humo.

Uzinduzi wa mpango huo ukiendelea 

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad