Kujenga ndoa na kuweka matumaini yako yote kwa mume ni hatua inayohitaji upendo na uaminifu mkubwa, lakini pale mwanaume uliyehangayika naye kuanzia chini anapokugeuka, kukutelekeza, na kumfuata mchepuko, maisha hugeuka kuwa jehanum.
Kwa zaidi ya miaka sita ya ndoa yetu, tuliaishi kwa amani na mafanikio na mume wangu. Hata hivyo, mambo yalibadilika ghafla pale alipopata uwezo wa kifedha na kuanza kuhusiana na mwanmke mwingine wa nje.










No comments:
Post a Comment