𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐔𝐌𝐄 𝐀𝐋𝐈𝐉𝐈𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐄𝐍𝐆𝐄 𝐘𝐀 𝐔𝐇𝐀𝐋𝐈𝐅𝐔 𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐖𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐄𝐕𝐘𝐀, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐌𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐁𝐈𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, August 21, 2026

𝐌𝐖𝐀𝐍𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐔𝐌𝐄 𝐀𝐋𝐈𝐉𝐈𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐄𝐍𝐆𝐄 𝐘𝐀 𝐔𝐇𝐀𝐋𝐈𝐅𝐔 𝐍𝐀 𝐃𝐀𝐖𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐔𝐋𝐄𝐕𝐘𝐀, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐌𝐁𝐀𝐃𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐌𝐓𝐀𝐁𝐈𝐀

Kulea mtoto kwa maadili mema na kumpa kila hitaji la msingi ni ndoto na furaha ya kila mzazi, lakini pale mwanao anapogeuka kuwa janga la familia, ukaidi unapotawala, na anapojiunga na magenge ya uhalifu na matumizi ya dawa za kulevya, maisha ya wazazi hugeuka kuwa msiba wa kila siku.


Kwa zaidi ya miaka mitatu, mwanangu wa kiume aliyekuwa mwenye nidhamu na aliyefanya vizuri shuleni alibadilika ghafla. Alianza kutoroka shule, kuvuta bangi, na hatimaye kujiunga na kundi la vijana wa mtaani waliokuwa wakifanya wizi na kuwapiga watu nondo usiku.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad