𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀 𝐘𝐄𝐓𝐔 𝐘𝐎𝐓𝐄 𝐈𝐋𝐈𝐆𝐄𝐔𝐊𝐀 𝐔𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐓𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀𝐑𝐈 𝐇𝐈𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐑𝐔𝐃𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, August 25, 2026

𝐍𝐘𝐔𝐌𝐁𝐀 𝐘𝐄𝐓𝐔 𝐘𝐎𝐓𝐄 𝐈𝐋𝐈𝐆𝐄𝐔𝐊𝐀 𝐔𝐖𝐀𝐍𝐉𝐀 𝐖𝐀 𝐕𝐈𝐓𝐀 𝐍𝐀 𝐌𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀𝐑𝐈 𝐇𝐈𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐑𝐔𝐃𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐀𝐌𝐀𝐍𝐈

𝑵𝒀𝑼𝑴𝑩𝑨 𝒀𝑬𝑻𝑼 𝒀𝑶𝑻𝑬 𝑰𝑳𝑰𝑮𝑬𝑼𝑲𝑨 𝑼𝑾𝑨𝑵𝑱𝑨 𝑾𝑨 𝑽𝑰𝑻𝑨 𝑵𝑨 𝑴𝑼𝑴𝑬 𝑾𝑨𝑵𝑮𝑼, 𝑴𝑷𝑨𝑲𝑨 𝑵𝑨𝑴𝑩𝑨𝑹𝑰 𝑯𝑰𝑰 𝑰𝑳𝑰𝑷𝑶𝑹𝑼𝑫𝑰𝑺𝑯𝑨 𝑨𝑴𝑨𝑵𝑰

Ndoa ni safari ya upendo na kupeana furaha, lakini pale ambapo nyumba yenu inageuka kuwa uwanja wa vita na kelele za kila siku bila sababu ya msingi, amani ya nafsi hutoweka kabisa. Kwa zaidi ya miaka mitatu, mimi na mume wangu tuliaishi kwenye mateso makubwa ya migogoro.

Tulianza kugombana kwa vitu vidogo sana visivyo na msingi; jambo dogo tu liligeuka kuwa ugomvi mkubwa wa kutukanana, kuvunja vyombo vya ndani, na hata kupigana mbele ya watoto wetu na majirani.

​Furaha na upendo tuliokuwa nao mwanzoni mwa ndoa yetu vilitoweka ghafla na kubaki chuki nzito. Kila mume wangu aliporudi nyumbani, nilisikia uchungu na hasira mwilini mwangu bila kujua sababu, na yeye pia alikuwa akinitazama kwa jicho la udharau na ukali.

ENDELEA    KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad