𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗬𝗔 𝗗𝗜𝗔𝗦𝗣𝗢𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, August 24, 2026

𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗪𝗔 𝗧𝗔𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗘𝗡𝗗𝗘𝗟𝗘𝗢 𝗬𝗔 𝗗𝗜𝗔𝗦𝗣𝗢𝗥𝗔 𝗪𝗔 𝗞𝗜𝗔𝗙𝗥𝗜𝗞𝗔

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika (ADDI) Balozi Dkt. Arikana Chihombori-Quao baada ya mazungumzo, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Agosti, 2026.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Rais wa Taasisi ya Maendeleo ya Diaspora wa Kiafrika (ADDI) Balozi Dkt. Arikana Chihombori-Quao, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 24 Agosti, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad