Kutafuta fedha na kuweka akiba kwa miaka mingi ni kazi inayotaka uvumilivu na jasho kubwa, lakini pale unapokutana na matapeli wakora wanaokupora na kukutapeli kila kitu ndani ya dakika chache, dunia yote huonekana kugeuka giza.
Kwa zaidi ya miaka kumi, nilikuwa nikifanya kazi kwa bidii na kuwekeza fedha zangu kwenye benki kwa ajili ya kununua kiwanja na kujenga nyumba ya familia.










No comments:
Post a Comment