𝐍𝐈𝐋𝐈𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐒𝐈𝐌𝐀𝐍𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐈𝐌𝐀𝐍𝐆𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐎𝐒𝐀 𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐖𝐀𝐖𝐈𝐋𝐈, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐍𝐈𝐁𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐏𝐀𝐂𝐇𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, August 19, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐈𝐒𝐇𝐈 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐒𝐈𝐌𝐀𝐍𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐒𝐈𝐌𝐀𝐍𝐆𝐎 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐊𝐎𝐒𝐀 𝐌𝐓𝐎𝐓𝐎 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐖𝐀𝐖𝐈𝐋𝐈, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐓𝐈𝐁𝐀 𝐘𝐀 𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐍𝐈𝐁𝐀𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐍𝐀 𝐌𝐀𝐏𝐀𝐂𝐇𝐀

Kuingia kwenye ndoa na kuanzisha familia ni ndoto ya kila mwanamke, lakini pale miaka inapopita bila sauti ya mtoto nyumbani, amani na furaha vyote huanza kutoweka. Kwa zaidi ya miaka miwili tangu niolewe, nilikabiliwa na simanzi nzito ya kukosa mtoto.


Kila mwezi ulipopita bila dalili za ujauzito, moyo wangu ulivunjika vipande vipande. Hali hii ilileta msongo mkubwa wa mawazo kwenye ndoa yangu, huku ndugu na majirani wakianza kunisanga, kuninyoshea vidole, na kunipachika majina ya dharau mtaani.

ENDELEA    KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad