𝐍𝐈𝐋𝐈𝐈𝐍𝐆𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐔𝐒𝐀𝐈𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐌𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐎, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐘𝐎𝐓𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐒𝐇𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐃𝐎𝐓𝐎 𝐙𝐀𝐍𝐆𝐔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, August 25, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐈𝐍𝐆𝐈𝐀 𝐊𝐖𝐄𝐍𝐘𝐄 𝐔𝐒𝐀𝐈𝐋𝐈 𝐖𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐙𝐀𝐈𝐃𝐈 𝐘𝐀 𝐌𝐀𝐑𝐀 𝐊𝐔𝐌𝐈 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐀𝐍𝐈𝐊𝐈𝐎, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐍𝐘𝐎𝐓𝐀 𝐘𝐀𝐍𝐆𝐔 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐁𝐀𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐒𝐀𝐅𝐈𝐒𝐇𝐖𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐘𝐀 𝐍𝐃𝐎𝐓𝐎 𝐙𝐀𝐍𝐆𝐔

Kusoma kwa bidii, kupata shahada ya chuo kikuu, na kuwa na sifa zote za taaluma ni hatua kubwa ya kujenga maisha, lakini pale unapoingia kwenye usaili wa kazi (interview) zaidi ya mara kumi kisha unafeli kila mara, moyo hukata tamaa kabisa.

Kwa miaka mitatu baada ya kumaliza masomo yangu, nilikuwa nikisaka ajira bila mafanikio. Kila nilipotuma maombi ya kazi, niliingia kwenye orodha ya wasailiwa (shortlist), lakini kila nilipofika kwenye chumba cha usaili, mambo yote yalibadilika na kuwa meusi.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad