Pasi na shaka, kupata ajira katika nyakati za leo ni hatua inayotoa matumaini makubwa ya kujenga maisha na kujikimu kimaisha. Hata hivyo, pale ambapo kila kazi unayopata inaingia mkosi na kukatika ghafla kabla hata hujakamilisha miezi mitatu, maisha hugeuka kuwa mfululizo wa aibu, simanzi, na mahangaiko yasiyo na majibu.
Kwa zaidi ya miaka minne, nilipitia mtihani huu mgumu na wa ajabu katika ulimwengu wa ajira. Nilibahatika kupata kazi katika makampuni na taasisi mbalimbali, lakini kila nilipoanza kufanya kazi, mambo yalibadilika ghafla na kuwa meusi pindi tu mwezi wa tatu ulipowadia.










No comments:
Post a Comment