𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐓𝐀𝐍𝐆𝐀, 𝐌𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐊𝐈𝐋𝐄𝐋𝐄 𝐂𝐇𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐄𝐋𝐈𝐌𝐔, 𝐔𝐉𝐔𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐁𝐔𝐍𝐈𝐅𝐔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Monday, August 24, 2026

𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐌𝐊𝐔𝐔 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐓𝐀𝐍𝐆𝐀, 𝐌𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈 𝐊𝐈𝐋𝐄𝐋𝐄 𝐂𝐇𝐀 𝐖𝐈𝐊𝐈 𝐘𝐀 𝐄𝐋𝐈𝐌𝐔, 𝐔𝐉𝐔𝐙𝐈 𝐍𝐀 𝐔𝐁𝐔𝐍𝐈𝐅𝐔

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili leo Jumatatu, Agosti 24, 2026, katika Uwanja wa Ndege wa Mkoa wa Tanga, ambapo anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu yanayofanyika katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, mkoani Tanga.

Amepokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Batilda Burian, pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda.

Alipowasili katika Viwanja vya Shule ya Sekondari Usagara, Waziri Mkuu ametembelea mabanda mbalimbali ya maonesho na kujionea bunifu, teknolojia na kazi mbalimbali zinazowasilishwa na washiriki katika maadhimisho hayo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad