𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐇𝐈𝐓𝐈𝐌𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐓𝐀𝐌𝐀𝐒𝐇𝐀 𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐙𝐈𝐌𝐊𝐀𝐙𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, August 15, 2026

𝐑𝐀𝐈𝐒 𝐒𝐀𝐌𝐈𝐀 𝐀𝐇𝐈𝐓𝐈𝐌𝐈𝐒𝐇𝐀 𝐓𝐀𝐌𝐀𝐒𝐇𝐀 𝐋𝐀 𝐊𝐈𝐙𝐈𝐌𝐊𝐀𝐙𝐈 𝟐𝟎𝟐𝟔

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akicheza muziki na Msanii kutoka Uganda Jose Chameleone katika kilele cha Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) lililofanyika, Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 14 Agosti, 2026.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Emmanuel Nchimbi katika Kilele cha Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) lililofanyika, Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 14 Agosti, 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad