𝐊𝐀𝐌𝐈𝐒𝐇𝐍𝐀 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐄𝐑𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐋𝐀𝐖𝐈 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐓𝐂𝐓𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐇𝐀𝐅𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Friday, September 4, 2026

𝐊𝐀𝐌𝐈𝐒𝐇𝐍𝐀 𝐖𝐀 𝐌𝐀𝐆𝐄𝐑𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐋𝐀𝐖𝐈 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐓𝐂𝐓𝐀 𝐊𝐔𝐒𝐇𝐈𝐑𝐈𝐊𝐈 𝐇𝐀𝐅𝐋𝐀 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐀 𝐌𝐀𝐅𝐔𝐍𝐙𝐎

Na Ssgt Mawazo Mtondo – DODOMA

Kamishna wa Jeshi la Magereza nchini Malawi, Kamishna Milda Salilika, akiwasili katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA), Ukonga jijini Dar es Salaam, leo Septemba 4, 2026, kwa ajili ya kushiriki Hafla ya Kufunga Mafunzo ya Kozi ya Uongozi Daraja la Kwanza (SGT No.1) ya mwaka 2026.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad