𝐃𝐊𝐓. 𝐌𝐖𝐈𝐆𝐔𝐋𝐔 𝐀𝐓𝐔𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀, 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐔𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐖𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐙𝐀 𝐀𝐅𝐘𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐒𝐈𝐍𝐆𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, September 9, 2026

𝐃𝐊𝐓. 𝐌𝐖𝐈𝐆𝐔𝐋𝐔 𝐀𝐓𝐔𝐀 𝐀𝐑𝐔𝐒𝐇𝐀, 𝐊𝐔𝐅𝐔𝐍𝐆𝐔𝐀 𝐌𝐊𝐔𝐓𝐀𝐍𝐎 𝐖𝐀 𝐊𝐈𝐌𝐀𝐓𝐀𝐈𝐅𝐀 𝐖𝐀 𝐇𝐔𝐃𝐔𝐌𝐀 𝐙𝐀 𝐀𝐅𝐘𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐒𝐈𝐍𝐆𝐈

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo, Septemba 9, 2026, amewasili mkoani Arusha kwa ajili ya kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, katika ufunguzi wa Mkutano wa Kimataifa wa Huduma za Afya ya Msingi.

Mkutano huo unafanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC).

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad