𝐏𝐑𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐕𝐈𝐋𝐈𝐏𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐌𝐀𝐋𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐔𝐙𝐄𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐃𝐀𝐖𝐀 𝐇𝐈𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐍𝐈𝐏𝐎𝐍𝐘𝐀 𝐈𝐌𝐀𝐑𝐀 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Thursday, September 3, 2026

𝐏𝐑𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐍𝐀 𝐊𝐈𝐒𝐔𝐊𝐀𝐑𝐈 𝐕𝐈𝐋𝐈𝐏𝐀𝐍𝐆𝐀 𝐊𝐔𝐍𝐈𝐌𝐀𝐋𝐈𝐙𝐀 𝐊𝐀𝐓𝐈𝐊𝐀 𝐔𝐙𝐄𝐄 𝐖𝐀𝐍𝐆𝐔, 𝐌𝐏𝐀𝐊𝐀 𝐃𝐀𝐖𝐀 𝐇𝐈𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐈𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐈𝐋𝐈𝐏𝐎𝐍𝐈𝐏𝐎𝐍𝐘𝐀 𝐈𝐌𝐀𝐑𝐀

Kufikisha umri wa uzee ni baraka kubwa, lakini pale mwili unapovamiwa na magonjwa sugu yasiyokwisha, furaha ya kuishi hutoweka na badala yake unakuwa mtumwa wa vidonge na maumivu ya kila siku.

Kwa miaka mingi, nilipitia mateso makubwa ya kiafya baada ya kukabiliwa na shinikizo la juu la damu pamoja na kisukari vilivyokuwa vikipanda kila uchao. Kila mwezi nilikuwa nikitumia kiasi kikubwa cha fedha kununua dawa za hospitali, lakini afya yangu iliendelea kuzorota siku hadi siku.

Miguu ilianza kufa ganzi, mwili ukawa dhaifu bila nguvu, na macho yalianza kupoteza uwezo wa kuona vizuri. Nilibaki nikilala kitandani kwa maumivu makali, nikihisi kabisa kuwa siku zangu za kuishi hapa duniani zilishafika mwisho.

ENDELEA   KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad