Msimamizi wa Uchaguzi wa INEC katika majimbo ya Segerea, Kivule, Ukonga na Ilala, Faraja Nakua. akimkabidhi fomu Mgombea Ubunge Jimbo la Segerea Bonnah Kamoli jijini Dar es Salaam Agosti 26, 2025.
...............................
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
MAELFU ya wanachama, wapenzi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wananchi katika Jimbo la Segerea, wilayani Ilala, jijini Dar es Salaam, wamejitokeza kumsindikiza Mgombea Ubunge wa jimbo hilo Bonna Kamoli, kuchukua fomu ya uteuzi katika Ofisi za Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) wilayani humo.
Msafara mrefu wa magari, pikipiki na bajaji wa mgombea huyo uliopambwa kwa shamrashamra, ngoma, matarumbeta na nyimbo za kuisifu CCM...SOMA ZAIDI









No comments:
Post a Comment