Jiji lote lilijua kesi yangu ya talaka.
Ilikuwa gumzo mitaani na hata kazini.
Siku ya hukumu nilihisi dunia imenipotea. Nilipoteza nyumba yangu, magari, na hata biashara yangu ikagawanywa kwa mume wangu wa zamani.
Nilipokea makaratasi ya hukumu nikiwa nimekaa kimya, machozi yakinibubujika, nikijiuliza nitaanzia wapi tena.
Majirani waliniangalia kwa huruma, wengine wakinong’ona kwamba maisha yangu yalikuwa yamefika mwisho...










No comments:
Post a Comment