MWALIMU MREMBO ALIYEKUWA AKIHAIRISHIWA HARUSI KAMA MECHI ZA MCHANGANI. - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Saturday, March 7, 2026

MWALIMU MREMBO ALIYEKUWA AKIHAIRISHIWA HARUSI KAMA MECHI ZA MCHANGANI.

Mwalimu mrembo aliyekuwa akihairishiwa harusi kama mechi za mchangani.
--------------------------------

Naitwa Evelyne, mwalimu wa sekondari hapa mkoani Morogoro. Kwa miaka mingi, nimekuwa nikiishi kwa aibu ya ajabu; nimekuwa mtaalam wa kupoteza wachumba. Mara tatu mfululizo, nimevishwa pete, tukapanga tarehe, tukachagua hadi kumbi za harusi, lakini zikiwa zimebaki wiki mbili, mwanaume anapotea au anatoa sababu isiyo na mashiko na kuvunja mahusiano.

Hali hii ilinifanya nianze kuchekwa na wafanyakazi wenzangu, wakiniita “bibi harusi wa mazoezi.” Kila nikivaa vazi la harusi kwa ajili ya kupima, mambo yanaharibika. Nilihisi nina nuksi iliyokithiri.

Nilihangaika sana Tanzania kutafuta tiba, nimeoga maji ya kila rangi na kutoa sadaka kubwa, lakini kila mtaalam alikuwa akimaliza mshahara wangu na kuniacha na maumivu yale yale. Nilianza kuamini kuwa labda nimeandikiwa kuzeeka bila mume.

ENDELEA KUSOMA

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad