Daktari alisema magoti yangu yameisha, lakini dawa ya
mizizi ilinifanya nitembee tena bila maumivu.
................
Jina langu ni Mzee Bakari. Nina umri wa miaka 63 na ninaishi
katika mkoa wa Pwani karibu na Kibaha. Kwa zaidi ya miaka mitano nilikuwa na
tatizo kubwa sana la maumivu ya magoti ambayo yalikuwa yameanza kunifanya
nifikirie kwamba maisha yangu ya kawaida yalikuwa yamefika mwisho.
Nilikuwa mtu ambaye alipenda kufanya kazi mwenyewe. Nilikuwa na
shamba dogo la mihogo na ndizi ambalo ndilo lilikuwa linanisaidia kuendesha
maisha yangu na familia.
Lakini polepole magoti yangu yalianza kuniuma.
Mwanzoni nilidhani ni uchovu wa kawaida wa kazi za shamba.
Lakini kadri miezi ilivyopita maumivu yalizidi kuwa makali.










No comments:
Post a Comment