Kwa miaka mingi nilikuwa nikijituma kwenye biashara yangu bila kuona matokeo makubwa. Nilianza biashara ndogo nikiwa na ndoto kubwa moyoni. Sikukuwa na mtaji mkubwa wala shop ya kuvutia. Nilianza kidogo kidogo nikijaribu kuuza bidhaa zangu kwa bidii, nikiamini siku moja mambo yangekuwa bora.
Lakini safari haikuwa rahisi. Watu wengi walikuwa hawaamini biashara yangu. Baadhi walikuwa wakinipuuza, huku wengine wakinicheka waziwazi. Kuna waliokuwa wakiniita mshamba, wakisema biashara yangu haiwezi kunifikisha popote.
KUENDELEA KUSOMA










No comments:
Post a Comment