Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilianza kujiuliza kama kweli kuna watu walikuwa hawataki nifanikiwe.
Kila nilipokuwa karibu kufikia jambo kubwa, kitu cha ajabu kilikuwa kinatokea na kila kitu kuharibika ghafla.
Mwanzoni nilidhani ni bahati mbaya ya kawaida ya maisha, lakini kadri muda ulivyopita, hali ile ilianza kuniumiza sana.
Nilianza kuona pattern ambayo ilinifanya niogope.
Nilipata kazi nzuri, lakini kabla hata sijaanza vizuri kampuni ilipunguza wafanyakazi na nikapoteza nafasi. Nilipoanza biashara ndogo kwa matumaini mapya, hasara za kushangaza zikaanza kujitokeza mpaka nikajikuta nimekata tamaa.










No comments:
Post a Comment