𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐈𝐖𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐂𝐕 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐆𝐈𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐓𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐘𝐀 𝐈𝐍𝐓𝐄𝐑𝐕𝐈𝐄𝐖 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Wednesday, May 20, 2026

𝐍𝐈𝐋𝐈𝐕𝐘𝐎𝐏𝐀𝐓𝐀 𝐊𝐀𝐙𝐈 𝐁𝐀𝐀𝐃𝐀 𝐘𝐀 𝐌𝐈𝐀𝐊𝐀 𝐌𝐈𝐖𝐈𝐋𝐈 𝐘𝐀 𝐊𝐔𝐓𝐔𝐌𝐀 𝐂𝐕 𝐁𝐈𝐋𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐆𝐈𝐖𝐀 𝐇𝐀𝐓𝐀 𝐒𝐈𝐌𝐔 𝐌𝐎𝐉𝐀 𝐘𝐀 𝐈𝐍𝐓𝐄𝐑𝐕𝐈𝐄𝐖

Kuna kipindi maishani mwangu nilianza kuamini labda bahati haikuwa upande wangu. Baada ya kumaliza masomo yangu, nilikuwa na matumaini makubwa sana. Nilikuwa naamini kama watu wengine, ningepata kazi nzuri, nianze kujitegemea, na kusaidia familia yangu. Nilikuwa nimejipanga vizuri na nilikuwa tayari kufanya kazi yoyote ya heshima ili nijenge maisha yangu.

Mwanzoni nilikuwa na matumaini makubwa.

Nilianza kutuma CV sehemu mbalimbali.

 Kila nilipoona advert ya kazi, nilikuwa wa kwanza kutuma maombi. Nilitumia muda mwingi kurekebisha CV yangu, kuandika application letters vizuri, na hata kutafuta ushauri wa jinsi ya kujibu interview. Lakini miezi ilianza kupita bila mabadiliko yoyote.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad