𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐍𝐘𝐀𝐒𝐀𝐇𝐎 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐔𝐍𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐓𝐀𝐘𝐀𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀𝐉𝐈 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐘𝐀 𝐖𝐈𝐙𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈 - SINGIDANIBLOG

Habari za Hivi Punde

Post Top Ad

Tuesday, May 19, 2026

𝐖𝐀𝐙𝐈𝐑𝐈 𝐃𝐊𝐓. 𝐍𝐘𝐀𝐒𝐀𝐇𝐎 𝐀𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈 𝐁𝐔𝐍𝐆𝐄𝐍𝐈 𝐓𝐀𝐘𝐀𝐑𝐈 𝐊𝐖𝐀 𝐔𝐖𝐀𝐒𝐈𝐋𝐈𝐒𝐇𝐀𝐉𝐈 𝐁𝐀𝐉𝐄𝐓𝐈 𝐘𝐀 𝐖𝐈𝐙𝐀𝐑𝐀 𝐘𝐀 𝐔𝐋𝐈𝐍𝐙𝐈

Viongozi mbalimbali wa Wizara ya Ulinzi wakiongozwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Rhimo Nyansaho (Mb) walipokuwa wakiwasili Bungeni jijini Dodoma, ambapo leo Mei 19, 2026, makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka wa fedha 2026/2027 yatawasilishwa. 

Wengine picha ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo Mhe. Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe,

Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Jacob Mkunda pamoja na viongozi wengine waandamizi.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad